2 Fal. 8:12 SUV

12 Hazaeli akasema, Bwana wangu analilia nini? Akajibu, Kwa sababu nayajua mabaya utakayowatenda wana wa Israeli; utazichoma moto ngome zao, utawaua vijana wao kwa upanga, utawaseta-seta watoto wao wachanga na wanawake wao wenye mimba utawapasua.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 8

Mtazamo 2 Fal. 8:12 katika mazingira