2 Fal. 8:18 SUV

18 Akaiendea njia ya wafalme wa Israeli kama walivyofanya nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa amemwoa binti Ahabu; akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 8

Mtazamo 2 Fal. 8:18 katika mazingira