2 Fal. 8:19 SUV

19 Walakini BWANA hakupenda kuiharibu Yuda, kwa ajili ya Daudi mtumishi wake, kama alivyomwahidia akasema, kuwa atampa taa, yeye na wazao wake siku zote.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 8

Mtazamo 2 Fal. 8:19 katika mazingira