2 Fal. 9:18 SUV

18 Basi mpanda farasi mmoja akatoka awalaki, akasema, Mfalme asema hivi, Je! Ni amani? Yehu akasema, Wewe una nini na amani? Geuka unifuate. Yule mlinzi akatoa habari, akasema, Yule mjumbe amewafikilia, lakini harudi tena.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 9

Mtazamo 2 Fal. 9:18 katika mazingira