2 Fal. 9:27 SUV

27 Na Ahazia mfalme wa Yuda alipoona hayo, akakimbia kwa njia ya nyumba ya bustanini. Yehu akamfuatia, akasema, Mpigeni huyu naye katika gari lake; wakampiga hapo penye kupandia Guri, karibu na Ibleamu. Akakimbilia Megido, akafa huko.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 9

Mtazamo 2 Fal. 9:27 katika mazingira