24 Hata Yuda walipofika mnara wa kulindia wa jangwani, wakalitazama hilo jeshi; nao, angalia, walikuwa maiti walioanguka nchi, wala hapana aliyeokoka.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 20
Mtazamo 2 Nya. 20:24 katika mazingira