Eze. 18:20 SUV

20 Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.

Kusoma sura kamili Eze. 18

Mtazamo Eze. 18:20 katika mazingira