Hes. 21:1 SUV

1 Na Mkanaani, mfalme wa Aradi, aliyeketi upande wa Negebu, alisikia habari ya kuwa Israeli alikuja kwa njia ya Atharimu; basi akapigana na Israeli, na watu kadha wa kadha miongoni mwao akawateka mateka.

Kusoma sura kamili Hes. 21

Mtazamo Hes. 21:1 katika mazingira