Hes. 21:23 SUV

23 Lakini Sihoni hakukubali kumwacha Israeli kupita katika mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, akatoka aende kupigana na Israeli jangwani, akafika mpaka Yahasa; akapigana na Israeli.

Kusoma sura kamili Hes. 21

Mtazamo Hes. 21:23 katika mazingira