Hes. 21:33 SUV

33 Kisha wakageuka na kukwea kwa njia ya Bashani; na Ogu mfalme wa Bashani akaondoka apigane nao huko Edrei, yeye na watu wake wote.

Kusoma sura kamili Hes. 21

Mtazamo Hes. 21:33 katika mazingira