Kum. 1:16 SUV

16 Nikawaagiza wakati ule waamuzi wenu, nikawaambia, Sikizeni ninyi maneno kati ya ndugu zenu, mkaamue kwa haki kati ya mtu na nduguye, na mgeni aliye pamoja naye.

Kusoma sura kamili Kum. 1

Mtazamo Kum. 1:16 katika mazingira