Kum. 12:30 SUV

30 ujiangalie, usije ukanaswa ukawafuata, wakiisha kuangamizwa mbele yako; wala usije ukauliza habari za miungu yao, ukisema, Mataifa haya waitumikiaje miungu yao? Nami nifanye vivyo.

Kusoma sura kamili Kum. 12

Mtazamo Kum. 12:30 katika mazingira