Kum. 12:31 SUV

31 Usimtende kama haya BWANA, Mungu wako; kwani kila yaliyo machukizo kwa BWANA, ayachukiayo yeye, wameifanyia miungu yao; kwa maana hata wana wao na binti zao huiteketezea hiyo miungu yao ndani ya moto.

Kusoma sura kamili Kum. 12

Mtazamo Kum. 12:31 katika mazingira