Kum. 15:7 SUV

7 Kama akiwapo mtu maskini pamoja nawe, nduguzo mmojawapo, ndani ya malango yako mojawapo, katika nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, usifanye moyo wako kuwa mgumu, wala usimfumbie mkono wako nduguyo maskini;

Kusoma sura kamili Kum. 15

Mtazamo Kum. 15:7 katika mazingira