Kum. 28:67 SUV

67 asubuhi utasema, Laiti ingekuwa jioni! Na jioni utasema, Laiti ingekuwa asubuhi! Kwa kicho cha moyo wako utakavyokucha, na kuona kwa macho yako utakavyoona.

Kusoma sura kamili Kum. 28

Mtazamo Kum. 28:67 katika mazingira