Law. 11:10 SUV

10 Na hao wote wasio na mapezi na magamba, ndani ya bahari, na ndani ya mito, katika hao waendao majini, na katika wote wenye uhai, waliomo majini, hao ni machukizo kwenu,

Kusoma sura kamili Law. 11

Mtazamo Law. 11:10 katika mazingira