Law. 19:10 SUV

10 wala usiyakusanye masazo ya mizabibu yako, wala usiyaokote matunda ya mizabibu yako yaliyopukutika; uyaache kwa ajili ya maskini na mgeni; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.

Kusoma sura kamili Law. 19

Mtazamo Law. 19:10 katika mazingira