Law. 2:16 SUV

16 Huyo kuhani atauteketeza ukumbusho wake, yaani, sehemu ya ngano iliyopondwa ya hiyo sadaka, na sehemu ya mafuta yake, pamoja na ule ubani wake wote; ni kafara ya kusongezwa kwa BWANA kwa njia ya moto.

Kusoma sura kamili Law. 2

Mtazamo Law. 2:16 katika mazingira