Law. 23:27 SUV

27 Lakini siku ya kumi ya mwezi huo wa saba ni siku ya upatanisho; itakuwa kusanyiko takatifu kwenu, nanyi mtazitesa nafsi zenu; nanyi mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto.

Kusoma sura kamili Law. 23

Mtazamo Law. 23:27 katika mazingira