Law. 27:8 SUV

8 Lakini kwamba ni maskini zaidi ya kuhesabu kwako, ndipo atawekwa mbele ya kuhani, na huyo kuhani atamtia kima; kama uwezo wake huyo aliyeweka nadhiri ulivyo, ndivyo kuhani atakavyomtia kima.

Kusoma sura kamili Law. 27

Mtazamo Law. 27:8 katika mazingira