Law. 5:1 SUV

1 Na mtu awaye yote akifanya dhambi, kwa kuwa ameisikia sauti yenye kuapisha, naye akawa ni shahidi, kwamba aliona au kujua, asipolifunua neno lile, ndipo atakapochukua uovu wake mwenyewe;

Kusoma sura kamili Law. 5

Mtazamo Law. 5:1 katika mazingira