Law. 5:12 SUV

12 Naye atamletea kuhani, na kuhani atatwaa konzi yake ya huo unga kuwa ukumbusho wake, na kuuteketeza juu ya madhabahu, juu ya sadaka zilizosongezwa kwa BWANA kwa njia ya moto; ni sadaka ya dhambi.

Kusoma sura kamili Law. 5

Mtazamo Law. 5:12 katika mazingira