Yer. 11:8 SUV

8 Lakini hawakutii, wala kutega masikio yao, bali walikwenda kila mtu katika ushupavu wa moyo wake mbaya; kwa hiyo nimeleta juu yao maneno yote ya maagano haya, niliyowaamuru wayafanye; lakini hawakuyafanya.

Kusoma sura kamili Yer. 11

Mtazamo Yer. 11:8 katika mazingira