Yer. 14:15 SUV

15 Basi, kwa hiyo BWANA asema hivi, Kwa habari za manabii wanaotabiri kwa jina langu, wala mimi sikuwatuma, lakini husema, Upanga na njaa havitaingia katika nchi hii; Kwa upanga na njaa manabii hao wataangamizwa.

Kusoma sura kamili Yer. 14

Mtazamo Yer. 14:15 katika mazingira