Yer. 14:16 SUV

16 Na watu hao, waliopewa unabii na wao, watatupwa nje katika njia kuu za Yerusalemu kwa sababu ya upanga na njaa; wala hawatakuwa na mtu wa kuwazika, wao na wake zao, na wana wao, na binti zao; maana nitamwaga uovu wao wenyewe juu yao.

Kusoma sura kamili Yer. 14

Mtazamo Yer. 14:16 katika mazingira