Yer. 16:18 SUV

18 Nami kwanza nitawalipa uovu wao na dhambi zao maradufu, kwa kuwa wameitia unajisi nchi yangu, kwa mizoga ya vitu vyao vichukizavyo, na kuujaza urithi wangu kwa machukizo yao.

Kusoma sura kamili Yer. 16

Mtazamo Yer. 16:18 katika mazingira