Yer. 19:8 SUV

8 Nami nitaufanya mji huu kuwa kitu cha kushangaza watu, na kuzomewa; kila mtu apitaye karibu nao atashangaa, na kuzomea kwa sababu ya mapigo yake.

Kusoma sura kamili Yer. 19

Mtazamo Yer. 19:8 katika mazingira