Yer. 2:27 SUV

27 waliambiao gogo la mti, Wewe u baba yangu; na kuliambia jiwe, Ndiwe uliyenizaa; kwa maana wamenipa mimi visogo, wala hawakunielekezea nyuso zao; lakini wakati wa taabu watasema, Simama ukatuokoe.

Kusoma sura kamili Yer. 2

Mtazamo Yer. 2:27 katika mazingira