Yer. 20:6 SUV

6 Na wewe, Pashuri, na watu wote wanaokaa katika nyumba yako, mtakwenda utumwani; nawe utafika Babeli, na huko utakufa, na huko utazikwa, wewe, na rafiki zako wote, uliowatabiria maneno ya uongo.

Kusoma sura kamili Yer. 20

Mtazamo Yer. 20:6 katika mazingira