Yer. 30:16 SUV

16 Basi, watu wote wakulao wataliwa; na adui zako wote watakwenda kufungwa; kila mmoja wao; na hao waliokuteka nyara watatekwa; na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo.

Kusoma sura kamili Yer. 30

Mtazamo Yer. 30:16 katika mazingira