10 Lisikieni neno la BWANA, enyi mataifa, litangazeni visiwani mbali; mkaseme, Aliyemtawanya Israeli atamkusanya, na kumlinda, kama mchungaji alindavyo kundi lake.
Kusoma sura kamili Yer. 31
Mtazamo Yer. 31:10 katika mazingira