Yer. 31:9 SUV

9 Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawaendesha penye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.

Kusoma sura kamili Yer. 31

Mtazamo Yer. 31:9 katika mazingira