Yer. 31:28 SUV

28 Tena itakuwa, kwa kadiri nilivyowaangalia, ili kung’oa, na kubomoa, na kuangusha, na kuangamiza, na kutesa; kwa kadiri iyo hiyo nitawaangalia, ili kujenga, na kupanda, asema BWANA.

Kusoma sura kamili Yer. 31

Mtazamo Yer. 31:28 katika mazingira