Yer. 32:18 SUV

18 wewe uwarehemuye watu elfu nyingi, uwalipaye baba za watu uovu wao vifuani mwa watoto wao baada yao; Mungu aliye mkuu, aliye hodari, BWANA wa majeshi ndilo jina lake;

Kusoma sura kamili Yer. 32

Mtazamo Yer. 32:18 katika mazingira