Yer. 34:21 SUV

21 Na Sedekia, mfalme wa Yuda, na wakuu wake nitawatia katika mikono ya adui zao, na katika mikono ya watu wale wanaowatafuta roho zao, na katika mikono ya jeshi la mfalme wa Babeli, waliokwenda zao na kuwaacheni.

Kusoma sura kamili Yer. 34

Mtazamo Yer. 34:21 katika mazingira