Yer. 34:7 SUV

7 wakati ule jeshi la Babeli walipopigana na Yerusalemu na miji yote ya Yuda iliyosalia, na Lakishi, na Azeka; kwa maana miji hiyo tu ndiyo iliyosalia katika miji ya Yuda yenye maboma.

Kusoma sura kamili Yer. 34

Mtazamo Yer. 34:7 katika mazingira