10 Ikiwa mtakaa bado katika nchi hii, ndipo nitawajenga, wala sitawabomoa, nami nitawapanda, wala sitawang’oa; kwa maana nayajutia mabaya niliyowatenda.
Kusoma sura kamili Yer. 42
Mtazamo Yer. 42:10 katika mazingira