5 Wakamwambia Yeremia, BWANA na awe shahidi wa kweli na uaminifu kati yetu; ikiwa hatufanyi sawasawa na neno lile, ambalo BWANA, Mungu wako, atakutuma utuletee.
Kusoma sura kamili Yer. 42
Mtazamo Yer. 42:5 katika mazingira