Yer. 48:45 SUV

45 Wamekimbia, wasio na nguvuWanasimama chini ya kivuli cha Heshboni;Ila moto umetoka katika Heshboni,Na mwali wa moto toka kati ya SihoniNao umekula pembe ya Moabu,Na utosi wa kichwa wa watu wapigao kelele.

Kusoma sura kamili Yer. 48

Mtazamo Yer. 48:45 katika mazingira