Yos. 11:12 SUV

12 Tena miji yote ya wafalme hao, na wafalme wake wote, Yoshua akawatwaa, akawapiga kwa makali ya upanga, na kuwaangamiza kabisa; vile vile kama huyo Musa mtumishi wa BWANA alivyomwamuru.

Kusoma sura kamili Yos. 11

Mtazamo Yos. 11:12 katika mazingira