1 Mambo Ya Nyakati 23:32 BHN

32 Kwa hiyo, ulikuwa ni wajibu wao kutunza hema la mkutano na mahali patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao makuhani, wazawa wa Aroni, kwenye ibada katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 23

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 23:32 katika mazingira