24 Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu lakini hakumaliza; tena ghadhabu iliwapata Waisraeli kwa ajili ya tendo hili, nayo hesabu hiyo haikuingizwa katika kumbukumbu za mfalme Daudi.
Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 27
Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 27:24 katika mazingira