20 Kisha, mfalme Daudi aliwaambia wote waliokusanyika, “Msifuni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.” Na wote waliokusanyika wakamtukuza Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao, wakamsujudia na kumwabudu Mwenyezi-Mungu na kumtolea mfalme Daudi heshima.
Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 29
Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 29:20 katika mazingira