20 Samueli akawajibu, “Msiogope; ingawa mmefanya uovu huu, msiache kumfuata Mwenyezi-Mungu, ila mtumikieni kwa moyo wenu wote.
Kusoma sura kamili 1 Samueli 12
Mtazamo 1 Samueli 12:20 katika mazingira