1 Samueli 2:16 BHN

16 Na kama mtu huyo akimjibu, “Ngojea kwanza nichome mafuta halafu utachukua kiasi chochote unachotaka,” hapo huyo mtumishi wa kuhani humjibu, “La, ni lazima unipe sasa hivi. La sivyo, nitaichukua kwa nguvu.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:16 katika mazingira