12 Daudi akamwuliza, “Je, wakazi wa Keila watanitia mikononi mwa Shauli, mimi pamoja na watu wangu?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Watakutia mikononi mwake.”
Kusoma sura kamili 1 Samueli 23
Mtazamo 1 Samueli 23:12 katika mazingira