1 Samueli 23:26 BHN

26 Shauli na watu wake walikuwa upande mmoja wa mlima, na Daudi na watu wake walikuwa upande mwingine wa mlima. Daudi alipokuwa anaharakisha kukimbia, Shauli naye alikuwa anamkaribia kumkamata Daudi.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 23

Mtazamo 1 Samueli 23:26 katika mazingira