1 Samueli 25:7 BHN

7 Nimesikia kwamba unawakata manyoya kondoo wako nataka ujue kwamba wachungaji wako walikuwa pamoja nasi, nasi hatukuwadhuru. Tena muda wote walipokuwa pamoja nasi mjini Karmeli, hawakukosa chochote.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 25

Mtazamo 1 Samueli 25:7 katika mazingira