1 Samueli 26:21 BHN

21 Ndipo Shauli akajibu, “Mimi nimefanya makosa. Rudi mwanangu Daudi. Sitakudhuru tena kwa kuwa leo maisha yangu yalikuwa ya thamani mbele yako. Mimi nimekuwa mpumbavu na nimekosa vibaya sana.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 26

Mtazamo 1 Samueli 26:21 katika mazingira