1 Samueli 30:1 BHN

1 Siku ya tatu baadaye, Daudi na watu wake wakarudi Siklagi. Waamaleki walikuwa wamekwisha shambulia Negebu pamoja na mji wa Siklagi na kuuteketeza kwa moto.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30

Mtazamo 1 Samueli 30:1 katika mazingira